BBCSwahili.com Launch BBC Media Player
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 04 Julai, 2008 - Imetolewa 18:39 GMT
 
Ingrid Betancourt
Mwanasiasa wa Ufaransa-Colombia, Ingrid Betancourt, amekuwa akitoa shukrani kwa watu mbalimbali, baada ya kurudi Ufaransa, kufuatia kuokolewa mikononi mwa watu waliomteka nyara.
 
ANGALIA/SIKILIZA
VIPINDI VINAVYOSIKIKA
 
 
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, amesema upinzani hauna budi kutambua kwamba yeye ndiye rais, akimaanisha Morgan Tsvangirai, kabla ya mashauri yoyote kufanyika kati ya pande hizo mbili.
 
Aliyekuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Jean-Pierre Bemba, amefikishwa mbele ya mahakama ya The Hague, kujibu mashtaka ya uhalifu na ukatili dhidi ya binadamu.
Kampuni ya magari ya Tata Motors yenye makao yake makuu nchini India, inaunda gari jipya la bei nafuu zaidi duniani.
SPORT
Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Jumamosi ijayo itayachambua mashindano mapya ya CAF barani Afrika.
 
 
HALI YA HEWA
 
Utabiri
Bonyeza hapa kuangalia hali ya hewa kwenye miji tofauti.
 
 

 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha